Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,728
- 1,327
Unaweza kuweka kwa ajili yaUnamuwekea nan
Mkuu Nitakipataje hiki kitabu?Hongera sana mkuu,
Ni hatua kubwa sana hiyo.
Nashauri kama hujasoma bado pitia hiki kitabu hapa
You'll never regret
Kama ni mzuri wa softcopy waeza kipata playstore.Mkuu Nitakipataje hiki kitabu?
ShukraniKama ni mzuri wa softcopy waeza kipata playstore.
Kwa hardcopy tembelea bookshops.
We Kama Mimi aiseeMkuu nipe siri ya biashara ulioianzisha maana hata mimi nikijana natamani niwe na maendeleo na ninamtaji mdogo ila sijui nianzie wapi au nianzishe biashara gani. Please help me for you're opnion
May be tubadilishane uzoefu kama vile uniambie biashara ambayo inaenda kwa sana huko kwenu ambayo haipo/ipo kwa uchache huku nilipo sawa rafiki ambaye ndiye ndugu yangu ijapokuwa hatukuzaliwa kwa tumbo moja.We Kama Mimi aisee
Acha kukalili kama mzee, uwelewa haupimwi kwa shule zenu za kata hizi, na elimu iliyojaa siasa, maalifa bora yanajengwa kwa kula chakula bora cha ubongo, nacho ni usomaji wa vitabu. Huyu dogo alishasema mda mwingi anasoma sana vitabu.Nina mashaka na Elimu yako, kwa sasa f4 kuandika hivi sikawaida, Jerry Muro ana masters lakn sidhan kama anaweza kuandika hivyo.Hongera sana kijana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakojoaaaa in manges voiceNina mashaka na Elimu yako, kwa sasa f4 kuandika hivi sikawaida, Jerry Muro ana masters lakn sidhan kama anaweza kuandika hivyo.Hongera sana kijana.
Mbona mm ni mzeeAcha kukalili kama mzee, uwelewa haupimwi kwa shule zenu za kata hizi, na elimu iliyojaa siasa, maalifa bora yanajengwa kwa kula chakula bora cha ubongo, nacho ni usomaji wa vitabu. Huyu dogo alishasema mda mwingi anasoma sana vitabu.