blackstone
Senior Member
- Aug 11, 2015
- 147
- 128
Habari zenu wakuu
Ivi kuna madhara yoyote yakitabia na kisaikolojia au kimahusiano anayopata mtu aliyelelewa na mzazi mmoja labda mama peke yake au baba peke yake,ni jinsi gani kukabiliana nayo kimakuzi ili kuhisi uwepo wa wazazi wote hata kama kiuhalisia yupo mmoja na mwingine hayupo.
Ivi kuna madhara yoyote yakitabia na kisaikolojia au kimahusiano anayopata mtu aliyelelewa na mzazi mmoja labda mama peke yake au baba peke yake,ni jinsi gani kukabiliana nayo kimakuzi ili kuhisi uwepo wa wazazi wote hata kama kiuhalisia yupo mmoja na mwingine hayupo.