Malezi ya watoto wadogo, yahitaji umakini mkubwa

Malezi ya watoto wadogo, yahitaji umakini mkubwa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Watoto wanapokuwa wadogo wanatakiwa kuwa na uangalizi wa karibu, uwe wa mzazi au mlezi.

Hii inatokana na watoto hao, kutokuwa na utambuzi wa baadhi ya vitu, kama vile: wadudu, maji taka, mifugo, sumu n.k

Kutokuwasimamia watoto hawa, kunaweza kusababisha madhara, kama vile; kunywa maji machafu, kula vinyesi vya wanyama, kutumia vitu vya ncha kali, kucheza na wanyama hatari, kula vitu vyenye sumu n.k

2.jpg

4.jpg
 
Hivi ni kweli nyoka anaweza kucheza na mtoto na asimdhuru, nasikia kuna baadhi ya nyoka huwa wanaweza kucheza na watoto. Hiyo kitu ni kweli au
 
Kwa huyo pork hamna tatizo sana hata kama atapata infections atatibiwa atapona.

Mbaya ni zile issue za Kenya housemaids kuwalisha huko chini kwao I mean kuwanyonyesha pu$$¥ zao chafu just imagine mtoto analishwa kemikali kali kutoka shamba,katoto kanavuna cancer ya koo hata hakajitambui.
 
Kwa huyo pork hamna tatizo sana hata kama atapata infections atatibiwa atapona.

Mbaya ni zile issue za Kenya housemaids kuwalisha huko chini kwao I mean kuwanyonyesha pu$$¥ zao chafu just imagine mtoto analishwa kemikali kali kutoka shamba,katoto kanavuna cancer ya koo hata hakajitambui.
Wewe hebu acha
 
Hivi ni kweli nyoka anaweza kucheza na mtoto na asimdhuru, nasikia kuna baadhi ya nyoka huwa wanaweza kucheza na watoto. Hiyo kitu ni kweli au
Kitendo cha nyoka kumng'ata mtu na kumuachia meno yake ni cha maumivu sana kwake, hufanya hivyo ili kujilinda, lakini sio kama anapenda kufanya hivyo.

Kwa asili binadamu wenye ufaham, akiona kitu cha hatari huwa ana generate hormone/chemikali ambayo inauambia ubongo huwe tayari kwa kujilinda, na asilimia kubwa ya wanyama wamebarikiwa kutambua hali hiyo, hivyo na wao uamua kujilinda kwa kumshambulia binadamu.

Sasa, ni tofauti sana na watoto, hawana wanalojua juu ya hatari au viumbe wakali, hivyo hawazalishi hizo chemikali/hormone, kufanya hata hao wanyama wakali wasione sababu ya kujilinda pindi waonapo watoto.
 
Wewe hebu acha
Kuna video moja ilitumwa kwenye group ikiwa na address ya Kenya mwenye nyumba aliamua aweke camera Kwa siri ndani ya nyumba upande wa sitting room na corridor,kwa maelezo yake siku hiyo alikuwa idle hana cha kufanya akakumbuka ngoja ktk camera aangalie humo ndani nini kinachoendelea wakiwa hawapo yeye na mkewe?alijuta!!!

Alimshuhudia mwanae anampiga deki beki tatu kwenye sofa beki tatu mkono mmoja umeshika kwa hisia kwenye angle za kochi mkono mwingine kamgandamiza mtoto kichwa kwenye kopo lake nusu kukosa pumzi jamaa aliitafuta bastola yake alikoiweka akampasue housegirl kichwa bahati yake mkewe aliihamisha ilipokuwa.

Machozi yalinitoka.
 
Watoto wanapokuwa wadogo wanatakiwa kuwa na uangalizi wa karibu, uwe wa mzazi au mlezi.

Hii inatokana na watoto hao, kutokuwa na utambuzi wa baadhi ya vitu, kama vile: wadudu, maji taka, mifugo, sumu n.k

Kutokuwasimamia watoto hawa, kunaweza kusababisha madhara, kama vile; kunywa maji machafu, kula vinyesi vya wanyama, kutumia vitu vya ncha kali, kucheza na wanyama hatari, kula vitu vyenye sumu n.k

Be blessed
 
Kuna video moja ilitumwa kwenye group ikiwa na address ya Kenya mwenye nyumba aliamua aweke camera Kwa siri ndani ya nyumba upande wa sitting room na corridor,kwa maelezo yake siku hiyo alikuwa idle hana cha kufanya akakumbuka ngoja ktk camera aangalie humo ndani nini kinachoendelea wakiwa hawapo yeye na mkewe?alijuta!!!

Alimshuhudia mwanae anampiga deki beki tatu kwenye sofa beki tatu mkono mmoja umeshika kwa hisia kwenye angle za kochi mkono mwingine kamgandamiza mtoto kichwa kwenye kopo lake nusu kukosa pumzi jamaa aliitafuta bastola yake alikoiweka akampasue housegirl kichwa bahati yake mkewe aliihamisha ilipokuwa.

Machozi yalinitoka.
Sooooooo soooo sad
 
Back
Top Bottom