NASSARY E
Member
- Jun 6, 2019
- 8
- 0
Malezi ni kitu kipana sana ambacho kinahusisha uhusiano wa mtoto, wazazi pamoja na mifumo ya kijamii,kiuchumi na hata mifumo ya kisiasa inayowazunguka.
Kijamii:
Malezi ya mtoto yanachangiwa pakubwa na mambo ya kijamii ikiwemo elimu na mengineyo.
Hapa uhusiano wa mwalimu na mwanafunzi ndio unaofuatwa.
Mwalimu akishirikiana na mwanafunzi, ana mchango mkubwa sana wa kubadilisha maisha au namna ya ukuaji ya mwanafunzi.
Kisiasa:
Mtoto anakua akiona matukio ya kisiasa yanayoendelea kwenye jamii inayomzunguka. Mfumo wa utawala,misingi ya uongozi tofauti na vile anavyofundishwa darasani, Ananakili yale anayoona yanamfaa kisha maisha yanaendelea.
Kiuchumi:
Shughuli za kiuchumi zinazoendelea kwenye jamii husika zinahusika kumweka mtoto katika aina fulani ya malezi.
Asanteni
Naitwa NASSARY
Nicheki Twitter Mshambaflan1
Kijamii:
Malezi ya mtoto yanachangiwa pakubwa na mambo ya kijamii ikiwemo elimu na mengineyo.
Hapa uhusiano wa mwalimu na mwanafunzi ndio unaofuatwa.
Mwalimu akishirikiana na mwanafunzi, ana mchango mkubwa sana wa kubadilisha maisha au namna ya ukuaji ya mwanafunzi.
Kisiasa:
Mtoto anakua akiona matukio ya kisiasa yanayoendelea kwenye jamii inayomzunguka. Mfumo wa utawala,misingi ya uongozi tofauti na vile anavyofundishwa darasani, Ananakili yale anayoona yanamfaa kisha maisha yanaendelea.
Kiuchumi:
Shughuli za kiuchumi zinazoendelea kwenye jamii husika zinahusika kumweka mtoto katika aina fulani ya malezi.
Asanteni
Naitwa NASSARY
Nicheki Twitter Mshambaflan1