Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Wanajeshi 49 wa Ivory Coast waliokuwa wamezuiliwa kwa zaidi ya mwezi mmoja nchini #Mali baada ya kushutumiwa kuwa mamluki, wamefunguliwa mashtaka ya kujaribu kuharibu usalama wa taifa na kuwekwa rumande.
Ivory Coast imekanusha shtaka la shughuli za mamluki na imekuwa ikitoa wito wa kuachiliwa kwa Wanajeshi hao.
Juhudi mbalimbali zimekuwa zikifanyika juu ya suluhu ya mzozo huo zikiwemo za Umoja wa Mataifa lakini zinaonekana kugonga mwamba.
---
Forty-nine Ivorian soldiers who have been detained for over a month in Mali after being accused of being mercenaries have now been charged and remanded in custody, reports say.
The soldiers were arrested on arrival at Bamako airport. The Ivory Coast authorities have denied the accusation of mercenary activity and have been calling for their release. Despite mediation efforts, the dispute has not been resolved.
Now judicial sources in Mali have told the French news agency that the 49 Ivorian soldiers were charged with attempting to harm state security.
To many observers this appears to be a sign of Mali's somewhat troubled international relations. Apart from forging close links with Moscow, the military rulers in Bamako have fallen out with several European nations including France.
Relations in the West African region have also been strained. The coup leaders in Mali are reported to be angry that Ivory Coast had been pushing for tougher economic sanctions to be imposed in order to speed up the transition to elections.
Source: BBC