Mali ya mjinga huishia mabegani: CCM na Mgodi wa Dhahabu Buzwagi - Kahama

Mali ya mjinga huishia mabegani: CCM na Mgodi wa Dhahabu Buzwagi - Kahama

House of Commons

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2013
Posts
2,179
Reaction score
2,177
Inasikitisha, chini ya mikataba ya ki-mangungo, mgodi wa Buzwagi ulioko kahama ni mkubwa sana hapa Tanzania. Mgodi unazalisha dhahab na kila siku ya alhamisi ndege hubeba dhahabu kupeleka nje


HMgodi una miaka 4 uki operate katika level ya production, lakini serikali inasema bado eti uko kwenye hatua ya utafiti na serikali haijaanza kupata mrahaba wala kodi...does it bring sense?..


Hii serikali imeshaona watanzania wote ni mazuzu, ni utafiti gani hadi leo wamarekani wanaoufanya harafu kila wiki wanapandisha matofali ya dhahabu kupeleka kwao?


Viongozi wetu hamfai hata kidogo, watanzania wanakosa huduma za kijamii kwa urafi wenu wa kujilimbikizia mimali?


Kama unaufahamu huu mgodi na ukaona kila wiki wazungu wanapandisha dhahab utaelewa ninachomaanisha


CCM na viongozi wake mnatumaliza wananchi, nie sio watu..ni heli kukutana na ibilisi kuliko nie
 
Manyago tupu sijaona cha maana hapa.

huwezi kuona cha maana hapa, akili yako inasubiri mada za kuzungumzia watu ndio uone la maana, ndivyo ulivyo, ndio sifa ya kuwa CCM lazima uwe na akili kama zako,

Kwahiyo unafarijika nchi inavyoibiwa?
 
Manyago tupu sijaona cha maana hapa.
ungeona cha maana ningeshangaa, hivi umewahi kuwa la roho ya kizalendo tokea umezaliwa, basi hata ile kujidanganya nasfi yako? we kazi yako ni kupinga kila kinachoongea malsahi ya nchi hii, we kweli kituko!
 
huwezi kuona cha maana hapa, akili yako inasubiri mada za kuzungumzia watu ndio uone la maana, ndivyo ulivyo, ndio sifa ya kuwa CCM lazima uwe na akili kama zako,

Kwahiyo unafarijika nchi inavyoibiwa?


Nchi kila siku inaomba misaada wakati huo wanotoa misaada ndo wanapewa mikataba ya kutuibia, CCM ni janga, viongozi wake ni janga, na wanachama wake ni janga
 
ungeona cha maana ningeshangaa, hivi umewahi kuwa la roho ya kizalendo tokea umezaliwa, basi hata ile kujidanganya nasfi yako? we kazi yako ni kupinga kila kinachoongea malsahi ya nchi hii, we kweli kituko!

Hawa wameajiriwa ku attack whatever kilicho kinyume na ccm, hata kama likiwa ni jambo la wazi, mwisho wenu utafika na mtashughulikiwa kadri ya dhuruma mlizofanya
 
Hawa wameajiriwa ku attack whatever kilicho kinyume na ccm, hata kama likiwa ni jambo la wazi, mwisho wenu utafika na mtashughulikiwa kadri ya dhuruma mlizofanya
Mwisho wao hautajkuja hivihvi, kuna kitu cha kufanya, kuzidi kuwaamsha watu, kuanzia kwenye boksi a kura, kisha kuzilinda na kuwashughuriki kisawasawa wakijaribu kuchakachua kama kawaida yao! sasa ujinga huu umetosha!
 
daahh asee hawa jamaa wanaviwanja vyao na haviko monitored kabisa madini yanayotoka hapo ni mengi sn
 
Back
Top Bottom