Mali za Mrema wa Naura Springs na Impala kupigwa bei kulipa madeni ya wafanyakazi na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

Mali za Mrema wa Naura Springs na Impala kupigwa bei kulipa madeni ya wafanyakazi na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

dope bwoi

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2009
Posts
236
Reaction score
602
Mali za Impala na Naura Spring Hotel mkoani Arusha zitauzwa ili kulipa madeni zaidi ya TZS 1.2B ya wafanyakazi.

Mchanganuo:
Wafanyakazi wa Naura- 68

Deni- TZS milioni 180

Wafanyakazi wa Impala- 165

Deni- TZS milioni 787.5

Fedha nyingine zitalipwa mifuko ya hifadhi ya jamii.

image.jpeg


image.jpeg
 
Hufikia kua ubatili, pesa pamoja na mali zote zilizopo hapa duniani.
Ifike sasa tuishi maisha yalio mema na yenye kumpendeza Mungu.
Mkuu hapo ndipo ninapo kubali pasi na shaka kwa mahubiri ndani ya Biblia yanauhai kwa "mali zote alizonazo binadamu ni mali ya MUNGU" Huyu ndugu amechuma mali hizi kwa shida na mateso makubwa lakini mwisho wake ameziacha zote hapa duniani.
 
Hapo hakuna lolote yani ukauze hotel zenye zaidi ya thamani ya 15bn kwa deni la 1.2m...huyo jaji atakua kala ugoro.hiyo familia wanamali nyingi hapo uzunguni yani hilo deni linalipwa na kuuza nyumba moja tu na chenji inabaki
Ukiona hivyo, ujue kuna mengi nyuma ya pazia. Mambo mengine yanafanyika kama BOSHENI tu! Sasa hivi watu wanabeba vitu vyao walivyoficha kipindi cha UHUJUMU UCHUMI.
 
Ukiona hivyo, ujue kuna mengi nyuma ya pazia. Mambo mengine yanafanyika kama BOSHENI tu! Sasa hivi watu wanabeba vitu vyao walivyoficha kipindi cha UHUJUMU UCHUMI.
Huyu mrema ndio anaongoza kua n majengo mengine arusha,uzunguni tu ana nyumba zaidi ya 5...na thamani ya sasa hapo uzunguni nyumba ni 1.5bn ukiuza,kipindi cha nyumba zilikua 2bn na watu wananunua
 
Huyu mrema ndio anaongoza kua n majengo mengine arusha,uzunguni tu ana nyumba zaidi ya 5...na thamani ya sasa hapo uzunguni nyumba ni 1.5bn ukiuza,kipindi cha nyumba zilikua 2bn na watu wananunua
Ngoja nitembee tembee maeneo ya MWANANCHI GARAGE maana sasa hivi nipo SHINYANGA. Nitakutafuta baadae kidogo 🙏🏽
 
Huyu mrema ndio anaongoza kua n majengo mengine arusha,uzunguni tu ana nyumba zaidi ya 5...na thamani ya sasa hapo uzunguni nyumba ni 1.5bn ukiuza,kipindi cha nyumba zilikua 2bn na watu wananunua
Unajua kwa wakazi wa ARUSHA na KILIMANJARO, wao ndio wanaamini kuwa wameshika UCHUMI WA TANZANIA 🇹🇿 na wao ndio wanaamini kuwa wameshika UCHUMI WA MIKOA YA ARUSHA NA KILIMANJARO.

Kumbe sio! Hali halisi haiko hivyo! UCHUMI WA TANZANIA 🇹🇿 umeshikwa na SERENGETI yaani CHUI halafu wanaofuatia ni MWASHITA yaani SIMBA 🦁, jamii nyingine hazipo kwenye ramani.

Hata UCHUMI WA MIKOA YA ARUSHA NA KILIMANJARO umeshikwa na SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 yenyewe kupitia SEKTA YA UTALII NA MADINI, jamii nyingine ni SERENGETI yaani CHUI na MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Halafu kitu kingine, pale ARUSHA kuna CHUO CHA KIJESHI yaani MILITARY ACADEMY na pale KILIMANJARO kuna CHUO CHA POLISI yaani POLICE ACADEMY, kwahiyo hii mikoa miwili kuna uwangalizi mkubwa sana kutokana na uwepo wa hivyo vyuo vya kipolisi na kijeshi.

Na SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 imewekeza sana kwa sababu ya kiusalama na kiulinzi. Hauwezi kuamini kuwa pale CHUO CHA POLISI - MOSHI [ CCP ] kuna askari wana vyeo vikubwa sana kuliko hata RPC wa KILIMANJARO. Sasa kwanini mkoa wa KILIMANJARO usiwe na ulinzi wa kutosha? Na ulinzi wa kutosha ni pamoja na uwekezaji na uwekezaji unafanyika kupitia raia wa kawaida. Hauwezi ukaona POLISI ndio uamini kuwa maeneo hayo yapo chini ya ULINZI WA KIPOLISI. Huwa wanawekeza kupitia raia wa kawaida - ndio maana hawa wenyeji wa MKOA WA KILIMANJARO wanaonekana wana fedha sana lakini mwisho wa siku hawana kitu.

Hali hii iko hivyo hivyo kwa upande wa ARUSHA, pale CHUO CHA KIJESHI kuna askari wana vyeo vikubwa kuliko hata MKUU WA KANDA. Sasa kwanini mkoa wa ARUSHA usiwe na ulinzi wa kutosha? Na ulinzi wa kutosha ni pamoja na uwekezaji na uwekezaji unafanyika kupitia raia wa kawaida. Hauwezi ukaona JESHI ndio uamini kuwa maeneo hayo yapo chini ya ULINZI WA KIJESHI. Huwa wanawekeza kupitia raia wa kawaida na ndio maana hawa wenyeji wa hii mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO huwa wanaonekana wana fedha sana lakini mwisho wa siku hawana kitu.

SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 kupitia raia wa kawaida [ wengi wao huwa ni askari kanzu ] wanamiliki UCHUMI MKUBWA sana kwa mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO na sasa hivi wameenda mpaka MANYARA. Na hii yote ni kwa sababu ya kiusalama na kiulinzi.

Na nikupe siri nyingine - kwa mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO ukilimiki hata BAA achilia mbali HOTELI ZA KITALII watakukagua mpaka BABU NA BIBI zako. Hii yote ni kwa sababu ya kiulinzi na kiusalama kwa CHUO CHA KIJESHI na CHUO CHA KIPOLISI.

Hali hii iko hivyo hivyo kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿 nzima. Hauwezi kusema UCHUMI WA TANZANIA 🇹🇿 umeshikiliwa na wageni! Kwanza hao wageni wametoka wapi? Mpaka waje kushikilia UCHUMI WA TANZANIA 🇹🇿? Hakuna kitu kama hicho! Kwanza hakuna SERIKALI yoyote inayoruhusu UCHUMI wake ushikiliwe na wageni.

Hao wote mnaowaona ni wafanyakazi wa kawaida lakini wamiliki halali huwa ni WATANZANIA WEUSI pamoja SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿.
 
Huyu mrema ndio anaongoza kua n majengo mengine arusha,uzunguni tu ana nyumba zaidi ya 5...na thamani ya sasa hapo uzunguni nyumba ni 1.5bn ukiuza,kipindi cha nyumba zilikua 2bn na watu wananunua
Kuna ile nyumba ya pale karibu ya Breweries iliuzwa bei chee sizani hata kama 800 inasemekana rafiki wa zamani alisuka mpango na madalali akainunua kwa bei chee.
 
Mali za Impala na Naura Spring Hotel mkoani Arusha zitauzwa ili kulipa madeni zaidi ya TZS 1.2B ya wafanyakazi.

Mchanganuo:
Wafanyakazi wa Naura- 68

Deni- TZS milioni 180

Wafanyakazi wa Impala- 165

Deni- TZS milioni 787.5

Fedha nyingine zitalipwa mifuko ya hifadhi ya jamii.

View attachment 1933334

View attachment 1933335
Inauma sana biashara nzuri kama hiyo kufilisika
 
Wachaga Agenda kubwa kwenye vikao vya December mwaka huu Naomba iwe ni "succession plan " maana hawa Wazee wetu wanakomaa na miradi /biashara mpaka wanakufa hawaruhusu mtoto kusogelea.

Matokeo yake ndio haya mzee anakufa na kila kitu kinakufa chap chap.
Nimesema wachaga specifically kwasababu ndio Wazee wanaonekana wagumu zaidi
 
Back
Top Bottom