hivi serikali za nchi za wenzetu ukiona umepata pesa kwa njia haramu kama hii ya rugemarila alizogawa kama njugu, mali zake zote zinatakiwa kuzuiwa, account zote kuwa frozen kabla hajawithdraw hela, nyumba zake zote kuzuiwa. huyu jamaa pia anatakiwa aonekane pale kisutu akisulibiwa na mali zake zote zizuiwe kabla hajaanza kuzihamisha.