Malia Obama ndani ya penzi jipya

Huu ndio umri ambapo watu wengii hufanya madudu ambayo baadaye yanawachafua wakiwa wamejitambua,ila ni foolish age ambayo wengi hupitia na hii haipaswi kuwa fimbo yake kumchapia pale atakapokuwa anapata nafasi kubwa za uongozi...
 
Unamaanisha nini?....wee unavuta?
of course navuta hata bangi. Marekani na nchi nyingine zilizoendelea bangi ishahalalishwa bado huko nchini kwenu Bongo, mbele ya safari itaruhusiwa tu.
Halafu wabongo wanaona kuvuta bangi ni mbaya wakati huohuo wanakuwa wazinzi ambayo ni worse than bangi.
Wakipata akili za kutosha wataelewa tu. Herb is a plant.
 
Huyu mtoto nilikua namtaka kitambo sana tatizo ni pesa tu za kunipeleka havard..

Watu wenye hela wanafaidi sana...
Acha nitafute hela atleast watoto wangu wasipate shida kudate na wasichana wa hivyo
Hahah Mimi nilimchomolea kwa kua hana chura mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…