kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
nyie form four failure msioisha kujipendekeza kwa mabwana zenu huwezi kuelewa kilichoandikwa hapo.Unaweza kukuta na wewe unadegree tena ya Udsm
kaka hii kauli aliisema wapi na lini? natamani nijue...kauli nyingine za Jiwe zinapaswa kupuuzwa.
..kwa mfano, kuna wakati alisema lazima uniform za magereza, wanajeshi, zishonwe hapa Tz kwasababu zikishonwa nje zinaweza kuwekwa upupu halafu askari wetu wakashindwa kupigana vita.
..wakati anayasema hayo, majeshi yetu yanapokea silaha na vifaa vya kijeshi toka nchi za nje.
Bora form four failure kuliko degree mbovu kama zenu.nyie form four failure msioisha kujipendekeza kwa mabwana zenu huwezi kuelewa kilichoandikwa hapo.
Bado sana mkuu ata baadhi nchi za Ulaya wana agiza China material