Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Habari za kuthibitishwa kutoka Uingereza zinasema Malikia Elizabeth II amepata maambukizi ya corona. Mpaka sasa taarifa hizo zinasema Malikia huyo ana hali ya homa isiyo kali bila ya madhara mengine na atendelea na majukumu yake madogo madogo. Malikia Elizabeth II amepatiwa dozi tatu za chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona.