Malikia wa Nguvu 2024: Flavian Matata ni malikia wa Nguvu na wa Heshima

Mkuu ni kuwa may be hujazunguka huko, Tanzania ni kubwa saana, Wananch wanajitolea saaana, wanaazisha ujenzi wa madarasa, nyumba za walimu vyoo etc lakini hii haimanishi kuwa nguvu na jitihada za Wadau wengine hazihitajiki, nguvu za Wadau wengine katika kuendeleza sekta ya Elimu, Afya bado zinahitajika na zinaendelea kuhitajika Duniani kote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…