kacghee Member Joined Dec 18, 2011 Posts 10 Reaction score 1 Jan 27, 2012 #1 Hivi madeni yote ya Walimu yamelipwa Mwezi Januari kama Naibu Waziri wa Elimu alivyotamba? Mbona Walimu wengi wanaodai malimbikizo ya mishahara hawajalipwa?
Hivi madeni yote ya Walimu yamelipwa Mwezi Januari kama Naibu Waziri wa Elimu alivyotamba? Mbona Walimu wengi wanaodai malimbikizo ya mishahara hawajalipwa?
tatanyengo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2011 Posts 1,133 Reaction score 280 Jan 28, 2012 #2 Kuna matatizo mengi yanawakumba watumishi wa umma.Serikali imezidiwa kwani ukata umeingia mlangoni ndo maana ufanisi umotekea dirishani.
Kuna matatizo mengi yanawakumba watumishi wa umma.Serikali imezidiwa kwani ukata umeingia mlangoni ndo maana ufanisi umotekea dirishani.