Kazitunayo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2013 Posts 3,782 Reaction score 3,199 Aug 18, 2016 #21 Aisee kwa iyo akipeleka malalamiko ya chama TFF yeye mwenyewe anajijibu
Kazitunayo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2013 Posts 3,782 Reaction score 3,199 Aug 18, 2016 #22 Magufuli si kakataza kazi mbili mbili
Red Giant JF-Expert Member Joined Mar 9, 2012 Posts 15,657 Reaction score 20,967 Dec 5, 2016 #23 Tanzania ina maajabu sana. Wajukuu zetu watakuwa wanaangalia makaburi yetu na kucheka kwa dharau.
Mbimbinho JF-Expert Member Joined Aug 1, 2009 Posts 8,328 Reaction score 7,784 Dec 5, 2016 #24 Katiba inaruhusu upuuzi huu? No wonder tutaendelea kupigwa 7 hadi akili zetu zikae sawa.
Red Giant JF-Expert Member Joined Mar 9, 2012 Posts 15,657 Reaction score 20,967 Dec 5, 2016 #25 Mbimbinho said: Katiba inaruhusu upuuzi huu? No wonder tutaendelea kupigwa 7 hadi akili zetu zikae sawa. Click to expand... wanaofanya huu upuuzi ndiyo wanaotengeneza katiba. hawapaswi kuja na utetezi kuwa katiba inaruhusu.
Mbimbinho said: Katiba inaruhusu upuuzi huu? No wonder tutaendelea kupigwa 7 hadi akili zetu zikae sawa. Click to expand... wanaofanya huu upuuzi ndiyo wanaotengeneza katiba. hawapaswi kuja na utetezi kuwa katiba inaruhusu.