Malinzi Akanusha kujitoa TFF

Hii nchi viongozi wanapendeza wachezaji wanachoka.

Nimemwona Lunyamila Azam tv kipindi cha mshike mshike (4/7/2017) akichambua match ya Tanzanians Vs Zambia binafsi nimejisikia vibaya mpira haujamfanyia haki na yote haya sababu ya viongozi aina ya Malinzi.
 
Reactions: SDG
Duh sasa ikiwa hivyo ndivyo nini khatina yake
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…