Robinhomtoto
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 238
- 244
Hongera sana Rais wa TFF Shabiki mkubwa wa Yanga.Tunakupongeza Kwa kumtaarifu Rais wa FIFA Juu ya klabu yako ya Yanga kutwaa Ubingwa wa Tanzania bara.Tunakuomba uzidi kuitangaza Yanga Kimataifa zaidi.