Robinhomtoto
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 238
- 244
Ni kweli aisee! Ni yeye ambaye anawashika miguu wachezaji wa simba sc ili wasifunge mabao ya kutosha wawapo Kwenye mechi...Malinzi yuko bias! Yanga&Uhaya!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vyura fc bhanaNi kweli aisee! Ni yeye ambaye anawashika miguu wachezaji wa simba sc ili wasifunge mabao ya kutosha wawapo Kwenye mechi...
nwekeni kaburu basiSoka letu liko katika hali ngumu sana chini ya huyu bwana Malinzi
Acha wivu bana, tupongeze sisi Simba tuliokata rufaa!Hongera sana Rais wa TFF Shabiki mkubwa wa Yanga.Tunakupongeza Kwa kumtaarifu Rais wa FIFA Juu ya klabu yako ya Yanga kutwaa Ubingwa wa Tanzania bara.Tunakuomba uzidi kuitangaza Yanga Kimataifa zaidi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kweli kabisa ndiye anayemwambia mavugo apaishe mipira
sawa Fifa watalipa tu
barua LA waganga
Simba ni vilaza fc
Utakufa kwa mawazo. Kagera Sugar alipiga mpira mkubwa sana kiasi uwanjani hakukaliki ngoma inahamishiwa mezani.Malinzi yuko bias! Yanga&Uhaya!