huyo ruta huyo ruta ndio mlaji wa pesa za TFF ununuzi wa jezi watu wa media nitafuten niwape upuuzi wa huyi bwanaHuyu mtu anayejiita rais wa tff anatia kinyaa kwa ujuaji hewa.
Aondoke zake ili soka la bongo lipige hatua japo moja mbele.
Naipongeza "timu dokodoko" ya Times fm kwa kumvua nguo huyu mheshimiwa kwa kuanika mauchafu yake wazi hadi kagoma kupokea simu zao. Hata yule mshauri wake juzi kapigiwa simu akataka kukana jina lake kwa kudai yeye anaitwa "ruta" na hakutaka kujibu alichoulizwa.
Haya ndo madhara ya kuwapa watu uongozi wa umma hali ya kua hawana uwezo wa kuongoza.
Hivi hiki cheo cha urais kina matatizo gani? Iwe urais wa nchi tabu, iwe wa tff shida, sijui tutaponea wapi?
huyo ruta huyo ruta ndio mlaji wa pesa za TFF ununuzi wa jezi watu wa media nitafuten niwape upuuzi wa huyi bwana
huyo ruta huyo ruta ndio mlaji wa pesa za TFF ununuzi wa jezi watu wa media nitafuten niwape upuuzi wa huyi bwana
huyo ruta huyo ruta ndio mlaji wa pesa za TFF ununuzi wa jezi watu wa media nitafuten niwape upuuzi wa huyi bwana
huyo ruta huyo ruta ndio mlaji wa pesa za TFF ununuzi wa jezi watu wa media nitafuten niwape upuuzi wa huyi bwana
Hapa tulimkabidhi mpira mtu wa ajabu sana. Na kuna aadhi ya watu wanaofaidika nae ndie wamebeba mbeleko ya kumtetea. Jamaa zangu wa TAKUKURU naona wako kimya au sijui wamemalizana kimyakimya.Unachukua hela za ofisini TFF dola laki moja unampa mshikaji wako anaenda kutengeneza jezi za Taifa starz malayasia.
Kisha hizo jezi unakuja wauzia tena TFF kwa hela ya mdhamini kilimanjaro kweli?
Tenda TFF hutangazi.
Ukibisha kule twitter nakuja na nondo,zote maana huyo uliyempa tenda ndio anajitapa huku mtaani na sauti ya kumrecord ninayo.
Hebu ondoka utuachie mpira watu
tuanzishe petition ya kumtoa wapenda mpira 1000 wanatoshaHapa tulimkabidhi mpira mtu wa ajabu sana. Na kuna aadhi ya watu wanaofaidika nae ndie wamebeba mbeleko ya kumtetea. Jamaa zangu wa TAKUKURU naona wako kimya au sijui wamemalizana kimyakimya.
Jamaa wana visheria vyao vya kulinda ulaji wa ambavyo vipo kiajabuajabu. Nakumbuka kazi iliyokuwepo wakati wa kumtoa Ndolanga.tuanzishe petition ya kumtoa wapenda mpira 1000 wanatosha
Mkuu tuko pamoja sana katika hilo. Na huu ni wakati muafaka wa kumng'oa na kama unavyoshauri tunaweza kuanzisha ili watu wakasaini. Najua tupo wengi sana tunaopenda soka na tunataka mabadiliko ili soka letu lisonge mbale. Naam ni vyema tukauonesha umma kwamba lazima ang'oke. ewananchi wote tukisain petition nayeye atajua kias gani tumemchoka muhimu tuunganishe nguvu