Mbona makonda aling'ang'ana mpaka mkamuelewa y not gwajiAisee kipindi kilee Bashite ameshikiwa bango na Gwajima nilimuonea huruma sanaa japo nae yulee alikomaa maana anajikweza sanaa.. Yani Gwajiboy akaamua mpka kuprint matokeo ya Bashite akawagiwia waumini wakee[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] Sasa hizi Video zake ndo nimeamini ukimtendea mtu Ubaya hulipwa na Mungu tena hapa hapa duniani...!
Baba askofu ajipange tu akiri na kutubu mbona kuteleza ni kawaidaa.. KARMA NEVER FORGET...KARMA IS REAL...
Amesema mkono ni wabaunsa sio wake ahahahahahahahajajajaLeo ametoa speech na vyombo vya habari dhidi ya ile video iliyosambaa
Wewe una maoni gani juu ya hiloAmesema mkono ni wabaunsa sio wake ahahahahahahahajajaja
Mimi nasubiri pt3 nifanye maamuziWewe una maoni gani juu ya hilo