Pale NBC kuana kampuni maalumu imepewa tenda ya kazi zote za IT (IT help desk)
hiyo kampuni inaitwa Infosys.
so kama unataka uajiriwe na NBC ktk kitengo cha IT haiwezekani mpaka uajiriwe na hao Infosys tena inategemea hao infosys watakupangia wapi kwani sio lazma wakupangie NBC.