Malipo ni hapahapa

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
*Kuna msichana tukiwa Sec School nilimwomba anionyeshe maziwa yake akawa mkali kibingwa,* *sasa hivi yuko pembeni yangu kwa daladala ananyonyesha.*
*Nayaona live* .
Malipo ni Hapa Hapa duniaa....
[emoji117][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwahiyo unayaangalia yote mawili badala ya moja kama ulivyo omba enzi za shule [emoji23][emoji23]
 
kipindi kile yalikuwa mgando ndo maana hata kama ungenyonya yasingetoka but now ni maziwa fresh,kwani wewe ulikuwa unataka fresh au mgando?
 
*Kuna msichana tukiwa Sec School nilimwomba anionyeshe maziwa yake akawa mkali kibingwa,* *sasa hivi yuko pembeni yangu kwa daladala ananyonyesha.*
*Nayaona live* .
Malipo ni Hapa Hapa duniaa....
[emoji117][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Na mama yako anaponyonyesha au alipokuwa ananyonyesha kuna waliomwambia malipo ni hapa hapa duniani. Epuka kuwadhalilisha watoto wa kike ni mama zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…