Malipo wa Serikali Kwa wakala wa mitandao

Windson

Senior Member
Joined
Jan 5, 2019
Posts
193
Reaction score
397
Habarini wakuu,

Naomba kuuliza namna ya kufanya malipo ya serikali kwa mtu ambaye ni wakala hasa kwa mitandao ya Vodacom M-Pesa, Tigopesa, Halotel, Airtel, ttcl nk, menu zake ni zipi na je kuna Kamisheni?
 
Kwa uzoefu wangu hakuna njia ya moja kwa moja kwa kutumia simu ya uwakala kufanya malipo hayo, hayo ufanyika kwa kutumia uwakala wa kibank(mashine) au machine ya selcom

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…