Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,904
Kwa kuwa Lowasa amekana mbele ya JK kuhusika kwake na Richmond/Downs, na
huku akidai kuwa alitaka kuvunja mkataba huo lakini JK akamkatalia, na
kwa kuwa JK mwenyewe ameshindwa kukanusha madai hayo ndani ya NEC.
Kwa kuwa JK alidai kuwa hajui Richmond/Downs, na
Kwa kuwa mtoa taarifa za ukweli Dr W. Slaa amesema kuwa Richmond/Downs ni ya kikwete.
Kwa kuwa Serikali ya JK ilipeleka mawakili feki kusimamia kesi ya Downs/Richmond, wakashindwa kizembe, na
Kwa kuwa serikali ya JK ilidai kuwa lazima tuwalipe downs/Richmond chap chap bila kuchelewa kupitia kwa mwanasheria mkuu, na
Kwa kuwa serikali haikujihangaisha kutafuta namna yo yote kuzuia malipo ya mabilioni hayo,
Kwa kuwa Lowasa ndani ya NEC Lowasa alidai kumshauri JK wamwombe Rostam awatafutie kampuni nyingine baada ya Richmoda kufeli ( DOWNS), na
Je, nikisema kuwa JK ndo anatudai kwa mgongo wa Downs/Richmond, nimekosea?
Au nikisema hili lilikuwa dili la wote wawili ( Lowasa na JK ) kabla hawajagombana, nimekosea? Rostam?
Mimi ninawaza tu, jibu la 100% sijui.
Soma
huku akidai kuwa alitaka kuvunja mkataba huo lakini JK akamkatalia, na
kwa kuwa JK mwenyewe ameshindwa kukanusha madai hayo ndani ya NEC.
Kwa kuwa JK alidai kuwa hajui Richmond/Downs, na
Kwa kuwa mtoa taarifa za ukweli Dr W. Slaa amesema kuwa Richmond/Downs ni ya kikwete.
Kwa kuwa Serikali ya JK ilipeleka mawakili feki kusimamia kesi ya Downs/Richmond, wakashindwa kizembe, na
Kwa kuwa serikali ya JK ilidai kuwa lazima tuwalipe downs/Richmond chap chap bila kuchelewa kupitia kwa mwanasheria mkuu, na
Kwa kuwa serikali haikujihangaisha kutafuta namna yo yote kuzuia malipo ya mabilioni hayo,
Kwa kuwa Lowasa ndani ya NEC Lowasa alidai kumshauri JK wamwombe Rostam awatafutie kampuni nyingine baada ya Richmoda kufeli ( DOWNS), na
Je, nikisema kuwa JK ndo anatudai kwa mgongo wa Downs/Richmond, nimekosea?
Au nikisema hili lilikuwa dili la wote wawili ( Lowasa na JK ) kabla hawajagombana, nimekosea? Rostam?
Mimi ninawaza tu, jibu la 100% sijui.
Soma