Malipo ya hisa zangu

Malipo ya hisa zangu

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Ninazo hisa kadhaa kwenye Makampuni mbalimbali lakini sijapata malipo yangu kwa muda mrefu. Nimesikia kuwa kuna kampuni inaweza kunisaidia kufuatilia mgawo wangu wa hisa zangu. Ninawaomba kama mtu anaweza kunipa jina la kampuni hiyo, namba ya simu au barua pepe anisaidie ili niweze kuwasiliana nao.
 
Mkuu unatakiwa uwe unahudhuria vikao vya kila mwaka vya hayo makampuni ulikowekeza(AGM) ...

Kuwekeza kwenye makampuni ni sawa sawa na kuwekeza kwenye kilimo, untayarisha shamba, unalima na kupanda mbegu.

Lakini unatakiwa kufuatilia shamba lako kwa umakini ili uhakikishe unapata mavuno yenye faida au hasara, matokeo yatakayoamua hatma ya uwekezaji wako siku za usoni.
 
Mi nilinunua za NOCOL halafu zikashuka bei kuliko ile niliyonunulia nahisi ilikuwa mwaka 2004. Jana ndo nasikia tangazo kwamba wana hisa wana mkutano sasa sijui kama naweza kwenda na deposit slip wakanikumbuka au walishanitoa kwenye database.
 
Mi nilinunua za NOCOL halafu zikashuka bei kuliko ile niliyonunulia nahisi ilikuwa mwaka 2004. Jana ndo nasikia tangazo kwamba wana hisa wana mkutano sasa sijui kama naweza kwenda na deposit slip wakanikumbuka au walishanitoa kwenye database.
Wakutoe kwa sababu gani?Je certificate yako ya hisa unayo?
 
Ninazo hisa kadhaa kwenye Makampuni mbalimbali lakini sijapata malipo yangu kwa muda mrefu. Nimesikia kuwa kuna kampuni inaweza kunisaidia kufuatilia mgawo wangu wa hisa zangu. Ninawaomba kama mtu anaweza kunipa jina la kampuni hiyo, namba ya simu au barua pepe anisaidie ili niweze kuwasiliana nao.
Kama unazo ncertificate zako za hisa,Akaunti ya benki na active email na simu Unaweza wasiliana na kampuni husika na kuuliza taarifa zako na gawio kama lipo.Cha muhimu uwe unarecords zako zote.Umewekeza kwenye kampuni ngapi?
 
Ninazo hisa kadhaa kwenye Makampuni mbalimbali lakini sijapata malipo yangu kwa muda mrefu. Nimesikia kuwa kuna kampuni inaweza kunisaidia kufuatilia mgawo wangu wa hisa zangu. Ninawaomba kama mtu anaweza kunipa jina la kampuni hiyo, namba ya simu au barua pepe anisaidie ili niweze kuwasiliana nao.
Sikiliza Radio free kuanzia sa12:30 hadi sa01:30 asubuhi kuna tangazo wanalirusha kila siku linawahusu ambao hamjachukua magawio yenu muda mrefu,nazani ile ni kampuni inayojihusisha na ufuatiliajiwamagawio
 
Ktk vitu ambavyo cwezi kuvifanya ni moja ya hayo cjui mambo ya hisa lkn pia ulifanya jambo ambalo elimu nalo hauna
 
Back
Top Bottom