Malipo ya kuwa msimamizi wa mitihani mara mbili yakoje?

vamda

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
895
Reaction score
571
Ndugu wana JF hususan walimu, napenda kufahamu malipo anayopaswa kupewa mwalimu aliyesimamia mitihani ya darasa la saba mwaka huu baada ya kuteuliwa kuwa msimamizi mkuu na msimamizi wa kawaida, yaani kupewa majukumu mawili kwa wakati mmoja. Je akilipwa sawa na mwalimu aliyepewa jukumu moja ni haki? Ni sahihi kupewa kazi mbili lakini kulipwa kazi moja. Endapo jibu sio haki mwalimu huyo anastahili kuchukua hatua zipi? Nasubiri ushauri wenu wadau.
 
Though the country is corrupt, let that be not a PROBLEM!!! Consider Patriotism to build your 'nation' even for a petty!!!
 
Nenda kwa mwajiri wako kwani ndiye mwenye full data
 
  • Wasiliana na afisa elimu - idara ya shule za msingi atakupa mchanganuo na ufafanuzi unaotakiwa.
 
ishu kama hizi ndo huwa zinasababisha uvujaji wa mitihani
 
inategemea afisa elimu wa wilaya ana njaa kiasi gani!
 
Soma vizuri habari, utaelewa maana ya kazi mbili za usimamizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…