Malipo ya makarani wa sensa yapo hivi.

prakatatumba

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2011
Posts
1,328
Reaction score
191
Mkataba kwa makaran wa sensa walioingia na NBS ulikuwa ukiwataka kupewa posho ya 380, 000/= lakini kwa Temeke, mbagala charambe, Tandika ila wametoa 140,000/= badala ya 380,000/= kwa dodoso refu na dodoso fupi wametoa 70, 000/= badala ya 245000. Je kwenye kata yako wewe karan wa dodoso refu na wewe karan wa dodoso fupi umepewa sh. Ngap?
Kwa hali h ya hela kutolewa kwa magumash ufanis wa kaz h itakuaje kama makaran wameanza kwa kukopwa?au makaran wavumililie maana uzalendo mbele.
 
wewe ni mhusika ama unailzia kwa niaba ya wengine? na waliopewa wamezipokea bila kuhojiaama?mkataba mlipewa au aumesikia tu kwamba upo? mbaya zaidi ukute ulipata ukarani kwa kuhonga unaweza ukajuta kuzaliwa, au makaran wavumililie maana uzalendo mbele.waanze wao si makarani
 
Mbona madaktari na waalimu wanavumilia? Na wao wavumilie tu, ukarani wa sensa ni WITO! Napita tu jamani msinitie ngeu!
 
Halafu kuna watu walihonga ili wapate hizo nafasi,kazi ipo
 
Hizo ni fact za ukwel nimeona mkataba na kuonana na makarani, mkataba walishapewa
 
Watu wanawito lakini serikal haina wito
Mbona madaktari na waalimu wanavumilia? Na wao wavumilie tu, ukarani wa sensa ni WITO! Napita tu jamani msinitie ngeu!
 

dodoso refu ni nini?
Dodoso fupi ni nini?
 
sasa tena ilitakiwa msipewe hata mia moja hapo kazi ya wito unaingia mkataba kabla ya kujua kiasi cha pesa huo ni wito
 
Makaran wa sensa wamegawanyika kuna wadodoso refu na fupi. Madodoso ni maswal ambayo makaran watakuwa wakiuuliza kwa wanakaya au familia siku ya sensa. Madodoso marefu yanamaswal 62 na madodoso mafupi yanamaswal 37.
dodoso refu ni nini?
Dodoso fupi ni nini?
 
hiki kitu sisi jf hatuwezi kujali,sensa yenyewe ni ya dhaifu kwa watu dhaifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…