malipo ya mnara wa simu kila mwezi

Ukaridayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
515
Reaction score
476
Wakuu habari zenu

Ningependa kujua ama kufahamu kwa mwenye uelewa kuhusu jinsi makampuni ya simu yanavyolipa pale wanapokuwa wamekodi/wameweka mnara wao kwenye eneo lako.

eneo ni dsm: juu ya ghorofa
mnara ni halotel.
 
Kuna jirani yangu, huku dsm Tabata analipwa laki saba kwa mwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…