aliya
Member
- Aug 11, 2022
- 20
- 14
Habari!
Napenda nielekee Moja kwa Moja kwenye mada husika!
Kuna baadhi ya halmashauri viongozi wake ni warasimu sana kitu ambacho kinashusha ari ya ufanyaji kazi kwa watumishi, mfano serikali inatoa pesa kwaajili ya nauli kwa watumishi wake ila zikifika kwenye halmashauri wanabadilisha matumizi jambo ambalo linapelekea watumishi kunyimwa stahiki zao.
Hali halisi ni halmashauri ya Tandahimba mkoa wa Mtwara hawajawahi kulipa malipo kwa wakati na hata upandishaji wa vyeo huwa wanakuwa nyuma sana, suala ambalo kimsingi halifai.
Naomba wizara ya TAMISEMI itazame kwa jicho la tatu kwenye halmashauri hii ikibidi mabadiliko yawe yanafanywa mara kwa mara, itoshe kusema mkurugenzi na wakuu wa idara ni warasimu mno.
Napenda nielekee Moja kwa Moja kwenye mada husika!
Kuna baadhi ya halmashauri viongozi wake ni warasimu sana kitu ambacho kinashusha ari ya ufanyaji kazi kwa watumishi, mfano serikali inatoa pesa kwaajili ya nauli kwa watumishi wake ila zikifika kwenye halmashauri wanabadilisha matumizi jambo ambalo linapelekea watumishi kunyimwa stahiki zao.
Hali halisi ni halmashauri ya Tandahimba mkoa wa Mtwara hawajawahi kulipa malipo kwa wakati na hata upandishaji wa vyeo huwa wanakuwa nyuma sana, suala ambalo kimsingi halifai.
Naomba wizara ya TAMISEMI itazame kwa jicho la tatu kwenye halmashauri hii ikibidi mabadiliko yawe yanafanywa mara kwa mara, itoshe kusema mkurugenzi na wakuu wa idara ni warasimu mno.