bwananyama
Member
- Dec 31, 2013
- 21
- 6
Kabla ya mwaka 2009, pori la selous kanda ya utalii ya Matambwe, Ilikua ikikusanya zaidi ya 10mil kwa mwez kutoka kampuni ya ndege ya caastal, ikiwa kama landing fee.Fedha hizo zilikua zikitozwa pale pale pindi ndege zilipotoa. Lkn baada ya mwaka huo, utaratibu wa ukusanyaji fee hizo umebadilishwa. Ndege zinatua kwa mkopo, malipo mwisho wa mwezi. Cha ajabu malipo yameshuka kutoka yale ya mil10 hadi kufikia mil3 kwa mwezi (malipo yasiyo ya wazi. hulipwa dar kupitia a/c # isiyojulikana),huku trip za ndege za kampuni hyo zikiwa nying kuliko kipindi miaka kabla ya 2009! Wadau wa eneo hili either wa coastal, au watumish wa selous na wanajamvi kwa nisaidieni haya maswali 1} Ni utaratibu gan ulitumika kuondoa mfumo wa zaman wenye faida 2) Kama ni mtu binafsi kaamua kufaidika mil2 kila mwezi ashtakiwe kwa sheria gani? NAWASILISHA WAKUU.