Malipo ya pesa ya usumbufu

Malipo ya pesa ya usumbufu

stable woman

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
3,884
Reaction score
4,479
Habarini????

Napenda kufahamishwa wadau ndugu yangu ambae ni mwalim amehama kituo kimoja kwenda kingine kwa kuomba uhamisho, je anaweza kulipwa fedha ya usumbufu?

Kwenye kituo alichohama alipangwa mwaka Jana ajira ya 2013 na mwisho Wa mwaka Jana akahamia kituo kingine ndani ya wilaya hiyohiyo!! Msaada please

Nawasilisha
 
walikuhamisha wao au uliomba kuhama mwenyewe?,tuanzie hapo kwanza
 
hamna malipo mana aliomba mwenyewe. gharama zote juu yake.
 
huyu ndugu aliomba uhamisho kwa matatizo yake ya kiafya na kuhamishiwa mjini

Kama ni dokezo kutoka kwa Daktari sawa anatakiwa alipwe lakini kama aliomba mwenyewe sahau na shukuru kaweza pata uhamisho! labda kama ingekuwa enzi zetu angepata kwani enzi hizo unaweza tolewa Magomeni na kupelekwa Manzese na unapata Disturbance allowance siku saba pamoja na mkopo wa kuanzia maisha
 
Kama ni dokezo kutoka kwa Daktari sawa anatakiwa alipwe lakini kama aliomba mwenyewe sahau na shukuru kaweza pata uhamisho! labda kama ingekuwa enzi zetu angepata kwani enzi hizo unaweza tolewa Magomeni na kupelekwa Manzese na unapata Disturbance allowance siku saba pamoja na mkopo wa kuanzia maisha
ndio alipata dokezo toka kwa daktari akahamishwa! kwahiyo je anatakiwa kufatilia pesa yake au ataitwa?
 
ndio alipata dokezo toka kwa daktari akahamishwa! kwahiyo je anatakiwa kufatilia pesa yake au ataitwa?

hapati hata kumi...dokta alishauri awe karibu na uangalizi wa hospitali (kwa barua) na huyo mwalimu akaomba uhamisho ili awe karibu na uangalizi wa hospitali.....SO HAPATI SENTE HAPO
 
hapati hata kumi...dokta alishauri awe karibu na uangalizi wa hospitali (kwa barua) na huyo mwalimu akaomba uhamisho ili awe karibu na uangalizi wa hospitali.....SO HAPATI SENTE HAPO
okay nashukuru kwa mchango wako!
 
Back
Top Bottom