Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Developer wa Bongo mifumo unga unga mwana kwa kutumia outdated technology kwa hio kua mvumilivu yale yale unaenda Ofisi ya Serekali unaambiwa mfumo haufanyi kazi no network,Nimejaribu kuilipa NSSF kupitia app za NBC na CRDB banks lakini zote zinagoma.
Nimejaribu kuingia Tausi portal ,inazunguka tu.
Ni mimi tu au kuna mwingine kaliona hili?
Outdated technology unga unga mwana nyingi sana, mfumo una umwa umwa kila baada ya mda unamezeshwa vidonge, ukibebeshwa mzigo mzito una-collapse mpaka ujengwe upyaMifumo ya e-GA inazingua sana.
Uta kuta hawaja mlipa providerDeveloper wa Bongo mifumo unga unga mwana kwa kutumia outdated technology kwa hio kua mvumilivu yale yale unaenda Ofisi ya Serekali unaambiwa mfumo haufanyi kazi no network,
Nimejaribu kuilipa NSSF kupitia app za NBC na CRDB banks lakini zote zinagoma.
Nimejaribu kuingia Tausi portal ,inazunguka tu.
Ni mimi tu au kuna mwingine kaliona hili?
Inabidi NMB iwasaidie kuisuka upyaMifumo ya e-GA inazingua sana.
Hauna hela maskini weweNimejaribu kuilipa NSSF kupitia app za NBC na CRDB banks lakini zote zinagoma.
Nimejaribu kuingia Tausi portal ,inazunguka tu.
Ni mimi tu au kuna mwingine kaliona hili?
Premium za wafanyakazi wanguEbwana kwani ulikuwa unalipia kitu gani NSSF
du kumbe tra ni mfumo aiseeMifumo ya bongo mingi sana inazingua yani karibia yote nest,tausi,tra,n.k