Malipo ya walimu yaota mbawa mkuranga!

Aikasa

Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
37
Reaction score
9
Jamani, tangu mwezi wa 9/2012 mpaka leo walimu walipopandishwa madaraja mpaka leo hawajalipwa mshahara mpya? Katibu wa CWT ameingilia kati mpaka HAZINA majibu aliyopewa kwmb hakuna madai yeyote kutoka mkuranga! Ndio inakaaje? Hebu funguka kama ni muhusika!
 
Hii wilaya,, inahitaji maombezi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…