Malisa GJ: Umuhimu wa Katiba Mpya

Hata vyama vingi wengi walikataa lkn yakafanyika mabadiliko,msitumie ujinga wa wtz wengi kuendelea kutawala
 
Acha kujidanganya ww,mataifa mengi ya ulaya magharibi yalipata maendeleo makubwa baada ya mabadiliko ya kisiasa sambamba na katiba bora.
Hiv kwann chama chakavu mnaiogopa katiba mpya????yaan bdo mnataka hii mbeleko iliyopo ktk hii katiba chakavu?????
Mkuu umewahi kuisikia katiba ya uk au kujua ilivo?? Jiulize ndo utatajua kuwa mifumo ipo tofauti Sana...

Mkuu ninajidanganya vp???
 
Mambo 2 makuu,

mwenye jukum la kufanya katiba ieleweke ni Nan?? Tufanye ok.. ni uzembe wa mwananchi. Je aachwe hvyo au aelimishwe?? Je ktk uzembe wake ameathirika kwa namna ipi kwa kutokuwepo matakwa ya Sasa ya katiba??

Pili hyo katiba itachunjwaje? Ikiwa hakuna kura ya maoni kwa watu wote wakiwa huru Kama wanataka mabadiliko ya katiba au la?? Je sis tulio andika ni % ngp ya wale wanaohitaji katiba?? Kwa utafiti upi?? Walao tungejua kuwa wtz wangp wamehojiwa ktk makund yapi ambao wamesema wanataka au hawaitaki..

Walugulu wanasema NO RESEARCH NO RIGHT TO SAY(kama ntakuwa nmepatia).. tusiende na mihemko tuuuuuuuu.. nakubaliana nawe ila utafiti huru kabisa ufanyike...
 
Kabla uongo wake wa list feki ya Lissu kulipwa mafao yake na bunge haujakauka vizuri leo malisa ameamua kuhara uongo mwingine!

Haya ngoja tuone mauzo ya cocaine yatqkavyokuwa mitaani baada ya punda kuachiwa huru na mahakama.
Mkuu hoja ya katiba Mpya wewe unaiunga mkono?
 
Tunahitaji kuwa na katiba bora kabisa kwa Africa & Dunia kwa sasa ili kumuenzi yule mwendamahoka
 
Mkuu umejibu kwa hisia za kisiasa au kwa matink?? Kwa hyo Sasa hv tunaviongoz wabovu??
Umejibiwa kwa manyik. Sema hautaki kusikia ukweli.

Katika utawala wowote kunakuwepo na viongozi wabovu. Kama ulivyofahamishwa, Katiba Mpya itawapunguza na watakapoonekana itakuwa rahisi zaidi kuwashughulikia hata kama watakuwa wanalindwa na baadhi ya watu.

Amandla...
 
Hakuna umuhimu wa katiba mpya full stop tujenge nchi, hatuwezi kuridhisha wachache tukaacha maslahi ya wengi.
 
Aseme ukweli kwamba KATIBA MPYA ni takwa la WANASIASA sio WANANCHI
 
Ama kwa hakika CDM na BAVICHA ni "think tank" kwa maana ya kujali mustakabali mwema wa nchi hii. Kwa maana hiyo, CCM na UVCCM yake kumejaa "empty cases" wengi mno, hata mambo muhimu yaihusuyo nchi yao hawajali kabisa, zaidi ya chama chao kichakavu na matumbo yao wenyewe.
 
Reactions: BAK
 
Wewe ni product makini sana,,kama 60% ya vijana wangalifaham hivi basi,tungefika mbali sana kama taifa ,,,keep on educating
 
Swali la ngapi majibu yake yana mianya doon
 

Halafu hii mifano ya eti watu wa kijijini hata hawaelewi katiba nini, kwani hao watu wa kijijini wanajua nini sana mpaka wasubiriwe waelewe? Hao watu wa vijijini wanajua kwanini viongozi wanatembelea maVX? Kuna popote mmejadiliana na watu wa huko vijijini ni magari gani yanawafaa viongozi? Je hao watu wa vijijini wanajua VX moja linaweza kuchimba visima sio chini ya sita wapate maji, huku wanaotembea na hizo VX wanamaji mpaka chooni, tena safi ya kuflash vinyesi? acheni kujifichia kwenye watu wasio na uelewa wa mambo.
 
Haa haa 😳😳😳😳haa,

Ama kweli wewe ni "ignorant" wa mwisho...

Eti hivi "katiba inawezaje kutusaidia kutuletea maendeleo...!!"

Labda wewe bado ni mwanafunzi tena darasa la tatu maana ungekuwa hata kidato cha 1 au cha 2 ungekuwa unajua maana na umuhimu wa katiba kiuchumi, kisiasa na kijamii...

Rudi shuleni ukafundishwe upya...
 
Ndiyo maana tunapendekeza kwamba katiba itupe mamlaka sisi wananchi ya kuwaadibisha wanasiasa(Wabunge) ambao hawatendi wanachokiongea.
Umekosea...

Usiseme "....kuwaadabisha wanasiasa (wabunge) ambao hawatendi wanachokiongea..."

KATIBA yoyote hutoa muongozo (guidelines) kwa viongozi au taasisi za umma/serikali kutekeleza wajibu au majukumu ya siku kwa siku kwa umma (watu) sawasawa na katiba inavyotaka wafanye...

Ukisema "katiba ikupe uwezo/mamlaka ya kuwaadabisha viongozi au wanasiasa wasiotenda wasemayo", maana yake unataka turudi kwenye " Umagufulism" aliyekuwa hajali wala kufuata mwongozo wa katiba ilivyokuwa inamtaka afanye na badala yake akawa anataka watu watendee kazi mawazo na hisia zake na ndiyo maana mambo yakaharibika na yeye kujikuta anakufa kifo kibaya maana alikuwa "threat" kwa ustawi Wa jamii yote....!!

KATIBA BORA itapelekea viongozi na taasisi za umma kutekeleza wajibu vyema na kuleta ustawi bora na mpana kwa jamii yote...

KATIBA MBOVU husababisha kilio na huzuni kwa kila raia kwa sababu katiba hiyo inakuwa inawapa viongozi wa umma kukiuka na kuvunja haki za kiraia kama ilivyokuwa wakati wa uongozi wa Mwendazake John Pombe Magufuli...
 
"Wanasiasa hawapendi SIASA ila wanapenda MADARAKA"Profesa Emeritus Isa Shivji
 
Mama anaupiga mwingi mnoo
 
Ndo maana China ilipiga marufuku haya mavyama mengi. Yanaleta mvurugano kwenye taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…