Wajadili nini sasa?Nimeondoka twitter kwa kujadili huu ujinga , yaani watu wanajadili makalio .
Taarifa zake tuzipuuze tuMbona hatuoni picha au video hapo??
Bila hivyo huo ni uzushi na kujaribu kumchafua mrembo wetu.
Seems ndiyo mijadala unayoipenda na inayokuvutia. Hata ukienda kirisiri kuna namna unaacha footprints na hivyo unajikuta unachokiona ni hicho tu, halafu unaanza kulaumu mtandaoNimeondoka twitter kwa kujadili huu ujinga , yaani watu wanajadili makalio .
Kwan Ndo nan uko Deslam