Malkia Nenzima Mangbetu wa Jamhuri ya Congo

Malkia Nenzima Mangbetu wa Jamhuri ya Congo

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1637038113071.png

Wabelgiji waliweka watawala katika vijiji ambao walitumikia Ufalme wa Mfalme Leopold. Baadhi ya wake wa watawala hawa walikua na nguvu kubwa hasa katika jumuia ya wanawake. Mafano ni Malkia Nenzima ambae ni mdogo wa Mbunza aliyewahi kuwa Chifu wa jadi kabla ya ujio wa Leopold.

Watoto wa watawala hawa walipelekwa shule na baadhi yao walosoma Ubelgiji. Malkia Nenzima ni mfano wa kiongozi wa kina mama.
 
Sura ya baba!

Kumbe hata zamani walikuwa wanafuga kucha.
 
hizo kucha kwa miaka ile zilikuwa na faida mno. btw malkia alikuwa mrembo sana.
huyu tumuite mtakatifu Nenzima
 
View attachment 2012346
Wabelgiji waliweka watawala katika vijiji ambao walitumikia Ufalme wa Mfalme Leopold. Baadhi ya wake wa watawala hawa walikua na nguvu kubwa hasa katika jumuia ya wanawake. Mafano ni Malkia Nenzima ambae ni mdogo wa Mbunza aliyewahi kuwa Chifu wa jadi kabla ya ujio wa Leopold.

Watoto wa watawala hawa walipelekwa shule na baadhi yao walosoma Ubelgiji. Malkia Nenzima ni mfano wa kiongozi wa kina mama.
Hii ya leo kama umeandika haraka mnoo
 
Ngoja nami niwe Mzalendo wa Kweli wa Kiafrika...

OH LORD... Queen Nenzima was very beautiful and elegant!!

....Mnh! Mbona nafsi inanisuta mimi!!!

....Hapana bhana!!!

She wasn't beautiful bhana, but YES, she's elegant!!

Alhamdulillah... am finally at peace now!!
 
View attachment 2012346
Wabelgiji waliweka watawala katika vijiji ambao walitumikia Ufalme wa Mfalme Leopold. Baadhi ya wake wa watawala hawa walikua na nguvu kubwa hasa katika jumuia ya wanawake. Mafano ni Malkia Nenzima ambae ni mdogo wa Mbunza aliyewahi kuwa Chifu wa jadi kabla ya ujio wa Leopold.

Watoto wa watawala hawa walipelekwa shule na baadhi yao walosoma Ubelgiji. Malkia Nenzima ni mfano wa kiongozi wa kina mama.
Hiyo picha ya huyo Malikia imenifanya niamini kweli malkia ni Eliza tu wengine vinyago kha
 
Comments nyingi zinaashiria au kuonesha ulimbukeni wa hali ya Juu vijana wa kiafrika tuna safari ndefu sana ya kukombolewa kifikra
 
Dada angu naomba nikupe heko kutuletea historia yetu. Wengi hatuchimbui historia zetu. Tunaotaka kuchimbua ni vigumu kupata historia iliondikwa na mwenzetu kwa ukweli na lugha ya sifa.

Tumezoea kuandikiwa historia yetu na wa nje, tumetengenezwa kuwaamini zaidi ... oneni hapo chini wanavodanganya na kumshusha hadhi chifu Mkwawa - uongo unaofikia watoto wetu na vizazi vijavyo. Hizi ndizo mbinu za ku brain wash na kufuta historia yetu ya ukweli. Wengi leo tuko confused kuhusu historia yetu wenyewe, kisa hii elimu yake - yetu tunaibeza.

1647112511950.jpeg
 
Back
Top Bottom