MAlkia wa ndoto yangu jitokeze your king is waiting for you

MAlkia wa ndoto yangu jitokeze your king is waiting for you

muro mrefu

Member
Joined
Sep 10, 2017
Posts
52
Reaction score
41
hallo guys, this is more than siriasy, poleni na majukumu. Najitokeza katika jukwaa hili nikileta ombi langu hususa nikwa mdada mmoja tu ambae tangu utoto wangu nnandoto ya kumoA mwenye sifa tajwa hapo chini.. Kwaufupi mm nikijana wakitanzania mwenye umri wa miaka 28 nnaelimu ya ngazi ya digrii nisietaka kuajiriwa ila nimeajiri. Ni mrefu kiasi maji ya kunde na mwembamba. Kabila ni mchaga. Msichana nnaemtafuta kwa miaka mingi awe na sifa zifuatazo... i. Awe mweupe. Ii. Mfupi au size ya kati, umri kati ya miaka 18 to 30, v. Mtafutaji. B. MchAmungu vii. Msomi au ht kama sio atlist anaeelewa dunia inaendaje.. ix. Anaejipamba lkn asizidi.
You are King I'm here and I'm always waiting for you.. where are you?? come so that we can start our new journey of life.. nb. Namba nilizoziruka nitazijaza PM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli digrii Sio kwa kidhungu hicho[emoji28][emoji16] malkia unaitwa huku [emoji344]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa mfalme tunafunga lini ndoa?
 
Back
Top Bottom