Malkia wa nguvu: Khadija Kopa asema "Wakuja wametukuta mjini "

Malkia wa nguvu: Khadija Kopa asema "Wakuja wametukuta mjini "

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwimbaji maarufu wa taarab Khadija Kopa amekabidhiwa taji ya malkia wa nguvu na kusema " Wakuja wametukuta mjini " na kuibua chereko na hoi hoi. Malkia wa nguvu wengine mi pamoja na Joyce Mhaville wa ITV na Mama Kam. Mgeni wa heshima ni waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye ameomgozana na Ally Happi DC Kimondoni na Dr Mjema DC Ilala. Source Clouds tv!
 
Mwimbaji maarufu wa taarab Khadija Kopa amekabidhiwa taji ya malkia wa nguvu na kusema " Wakuja wamewakuta mjini " na kuibua chereko na hoi hoi. Malkia wa nguvu wengine mi pamoja na Joyce Mhaville wa ITV na Mama Kam. Mgeni wa heshima ni waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye ameomgozana na Ally Happi DC Kimondoni na Dr Mjema DC Ilala. Source Clouds tv!
wamefanya upendeleo Malkia wa nguvu wangempa mandojo...maana jamaa anajua sana mziki sio kumpa tuzo khadija kopa.
 
Mama wa pale pale pautamu wamepapamba maua,usipopata gonorea ukimwi utakuua.

Mjini chuo kikuuuuu!!

Hongera sana Khadija kopa

Top in town.
 
Mwimbaji maarufu wa taarab Khadija Kopa amekabidhiwa taji ya malkia wa nguvu na kusema " Wakuja wamewakuta mjini " na kuibua chereko na hoi hoi. Malkia wa nguvu wengine mi pamoja na Joyce Mhaville wa ITV na Mama Kam. Mgeni wa heshima ni waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye ameomgozana na Ally Happi DC Kimondoni na Dr Mjema DC Ilala. Source Clouds tv!
anawananga Wakolomije nini??
 
Mwimbaji maarufu wa taarab Khadija Kopa amekabidhiwa taji ya malkia wa nguvu na kusema " Wakuja wametukuta mjini " na kuibua chereko na hoi hoi. Malkia wa nguvu wengine mi pamoja na Joyce Mhaville wa ITV na Mama Kam. Mgeni wa heshima ni waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye ameomgozana na Ally Happi DC Kimondoni na Dr Mjema DC Ilala. Source Clouds tv!
Aache unafiki yeye si ametokea zbar huyo kaja mjini kavua nikabu angebaki zenji ale urojo
 
Back
Top Bottom