Malkia wa nguvu: Khadija Kopa asema "Wakuja wametukuta mjini "

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwimbaji maarufu wa taarab Khadija Kopa amekabidhiwa taji ya malkia wa nguvu na kusema " Wakuja wametukuta mjini " na kuibua chereko na hoi hoi. Malkia wa nguvu wengine mi pamoja na Joyce Mhaville wa ITV na Mama Kam. Mgeni wa heshima ni waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye ameomgozana na Ally Happi DC Kimondoni na Dr Mjema DC Ilala. Source Clouds tv!
 
wamefanya upendeleo Malkia wa nguvu wangempa mandojo...maana jamaa anajua sana mziki sio kumpa tuzo khadija kopa.
 
Amekuja mtu miaka ishirini tuu toka Chatto amekuwa rais nyie mna karne mjini sio hata makatibu kata
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mama wa pale pale pautamu wamepapamba maua,usipopata gonorea ukimwi utakuua.

Mjini chuo kikuuuuu!!

Hongera sana Khadija kopa

Top in town.
 
anawananga Wakolomije nini??
 
Aache unafiki yeye si ametokea zbar huyo kaja mjini kavua nikabu angebaki zenji ale urojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…