M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
SawaWashindi wa Tunzo ya Kinshasa ya "Malkia wa Nguvu" kwa umoja wao wamemtumia salamu za rambirambi The Boss Lady Mrs. Diamond Chibu kuwa kufiwa na mumewe was zamani DR. Ivan. Kiasi cha rambirambi walichotoa kitatangazwa baadae.
Kha watu kwa kusaka fursa hamjambo, haya weka na jina kamili sasaWaweza kuchangia Rambirambi kupitia M-Pesa 0755 028 259. Kusaidia familia aliyoiacha marehemu.
Tuwasapoti Kwa pesaDuh so alizikwa na mihela? so za nini tena? [emoji15] [emoji15]
UnashingapTuungane kuifariji familia