Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
<br />Ni mkuu wa nchi ya uingereza.<br />
Zamani ufalme ulikuwa na nguvu ila kwa sasa umebaki kama heshima tu bila kuwa na maamuzi kwenye serikali.<br />
Chama kikishinda uchaguzi malkia ndio anakipa idhini kitengeneze serikali.<br />
nchi 16 zinamtambua kama kiongozi wao.
<br />
<br />
mkuu umesema vema, shughuli zake kiutendaji kila cku ni zipi? Ana ofice? Ofisi yake inafanya shughuli/kazi ipi/zipi?
<br />Mkuu wa Jumuia ya madola
<br />
<br />
mkubwa! Yote mliyosema,wewe na wachangiaji wengine hapo juu nayajua. Nachotaka kujua kwa mfano,akiamka asubuhi anaenda wapi? Au kama anawasaidizi wake wanafanya kitu gani? Wapi? Hapohapo burkinham palace au anaenda/wanaenda wapi? Ana mshahara? Au posho?.... Mko wapi wajuzi wa mambo?
<br />
<br />
mkubwa! Yote mliyosema,wewe na wachangiaji wengine hapo juu nayajua. Nachotaka kujua kwa mfano,akiamka asubuhi anaenda wapi? Au kama anawasaidizi wake wanafanya kitu gani? Wapi? Hapohapo burkinham palace au anaenda/wanaenda wapi? Ana mshahara? Au posho?.... Mko wapi wajuzi wa mambo?
Queen= gadafi= mugabe
<br />Hii link inakupeleka katika kazi anazofanya Malkia kila siku, unaweza itafsiri kwa google kama kiingereza kinakupa tabu:<a href="http://www.royal.gov.uk/HMTheQueen/DayInTheLife/Queensworkingday.aspx" target="_blank"> The Queen's working day</a>
<br /><br /><br />
<br /><br />
kilema wa akili
<br /
kilema wa akili
<br />
a.k.a Haya One? Teeh teh!