Mallumo mjiandae kuaibika

Mallumo mjiandae kuaibika

Kwa mwaka huu mlipofika mtakuwa mmejitahidi
Mjipange kwenda kudefend tu msishuke daraja ligi ya kwenu huku caf hamna chenu
Tz mtakufa bao 3
Huku ngoma itaenda droo
Acha twone

Leo wanacheza na Mamelodi
 
Kwa mwaka huu mlipofika mtakuwa mmejitahidi
Mjipange kwenda kudefend tu msishuke daraja ligi ya kwenu huku caf hamna chenu
Tz mtakufa bao 3
Huku ngoma itaenda droo
TAWILE
 
IMG_6610.jpg

Ni swala la muda tu ila tunarudisha
BAHLABANE BA NTWA
 
Kwa nilivyowaona Malumo, Yanga anapigwa nje ndani. Wale watu wako aggressive sana. Ile spirit waliyonayo mamelodi ndo wanayo wale jamaa. Nafikiri hii inatokana na nature ya ligi yao kwasababu hata Orlando msimu uliopita walikua hivi hivi kwenye michuano hii.
 
Kwa nilivyowaona Malumo, Yanga anapigwa nje ndani. Wale watu wako aggressive sana. Ile spirit waliyonayo mamelodi ndo wanayo wale jamaa. Nafikiri hii inatokana na nature ya ligi yao kwasababu hata Orlando msimu uliopita walikua hivi hivi kwenye michuano hii.
Hii Yanga mnaichukulia poa sana
 
Back
Top Bottom