HABARI ZA LEO WANA JAMVI,
Ni mara yangu ya kwanza kuja katika jukwaa hili la elimu hapa JF kuomba msaada, mm nimemaliza kidato cha nne mwaka 1996, nikabahatika kusoma IIT mambo ya Computer nikapata Diploma pale, sijasoma kwa muda sasa, tatizo langu ni kwamba ninataka kujiunga na Chuo ili niweze kujiendeleza, wameniambia kutokana na cheti changu cha form four kutokuwa kizuri nifanye malticulation ili niweze kujiunga, JE KUNA YOYOTE ANAYEJUA MASWALI JINSI YANAVYOULIZWA KWENYE HIYO MITIHANI? MAANA NISIJE KUINGIA NIKAWA SIJUI KITU, NAOMBENI MSAADA WENU.
Ni mara yangu ya kwanza kuja katika jukwaa hili la elimu hapa JF kuomba msaada, mm nimemaliza kidato cha nne mwaka 1996, nikabahatika kusoma IIT mambo ya Computer nikapata Diploma pale, sijasoma kwa muda sasa, tatizo langu ni kwamba ninataka kujiunga na Chuo ili niweze kujiendeleza, wameniambia kutokana na cheti changu cha form four kutokuwa kizuri nifanye malticulation ili niweze kujiunga, JE KUNA YOYOTE ANAYEJUA MASWALI JINSI YANAVYOULIZWA KWENYE HIYO MITIHANI? MAANA NISIJE KUINGIA NIKAWA SIJUI KITU, NAOMBENI MSAADA WENU.