Angalia hata taarifa za serikaliWatanzania tu wagumu sana kuelewa...yani ni mwezi sasa unakwenda bado jambo hilo watu hawajaelewa....hahahah eti jiji limevunjwa! Kwani hilo jiji wanaosema limevunjwa lilikuwa linaanzia wapi na kuishia wapi? Hahahaha yani hili swala la jiji ndio linashihirisha uwezo wetu wakuelewa mambo!
Yani hadi huyo mchungaji anajua jiji limevunjwa hahahahaha! Yani watu hadi leo wameshindwa kujua kilichovunjwa!
Bado kidogo mtasikia wilaya mipya ya katoro.Akizungumza kwa kujiamini mmoja wa wachangiaji amepinga kuvunjwa kwa jiji kulikoleta mkanganyiko wa hadhi ya maeneo , kwa kutolea mfano wa Chanika kuwa jijini huku Magomeni , Kinondoni , Masaki , Temeke , Mwenge na Mbezi Beach kuwa nje ya jiji .
Ametoa plan ambayo kama ingefanyiwa kazi basi mkanganyiko huo usingekuwepo na bado matumizi yangeendelea kubanwa , amedai kwamba kama lengo lilikuwa ni kubana matumizi ilikuwa rahisi tu kubadili muundo wa Jiji ambapo amependekeza vikao vya jiji vingekuwa vya mameya wa manispaa zake kwa lengo la kujadili palikofikiwa kwenye mipango ya manispaa hizo , bado jiji lingeendelea kuwepo bila kuipromote Buguruni kwa Mnyamani na kuitupa Oysterbay .
Mwisho mchangiaji huyo amekiri kufahamu mamlaka ya Rais na amesema hapingi mipango yake
Ukisema jiji la ilala tayari umeshaitoa Oysterbay, Masaki, mikocheni, mbezi beach, kijitonyama e.t.cWatanzania tu wagumu sana kuelewa...yani ni mwezi sasa unakwenda bado jambo hilo watu hawajaelewa....hahahah eti jiji limevunjwa! Kwani hilo jiji wanaosema limevunjwa lilikuwa linaanzia wapi na kuishia wapi? Hahahaha yani hili swala la jiji ndio linashihirisha uwezo wetu wakuelewa mambo!
Yani hadi huyo mchungaji anajua jiji limevunjwa hahahahaha! Yani watu hadi leo wameshindwa kujua kilichovunjwa!
Uamuzi ule ulikuwa wa kukurupuka
Mimi ni jiwe kwelikweli