pole sanaHuyu Dr Lwaitama hana cha kufanya? Kila siku namuona kwenye TV! Halafua anachoongea hakieleweki!
Huyu Dr Lwaitama hana cha kufanya? Kila siku namuona kwenye TV! Halafua anachoongea hakieleweki!
kwani uwezo wako wa kuelewa ukoje? angalia usijekuwa umejifafanua kwamba ni mgumu kuelewa na mkaidi unapofundishwa.Huyu Dr Lwaitama hana cha kufanya? Kila siku namuona kwenye TV! Halafua anachoongea hakieleweki!
material anayotoa ww huwez kuelewa yako juu ya uwezo wako,yy ni dr. Wew unawaelewa kwa ulaisi walimu wa shule ya msingi.nazan tatzo lako ndo ilo.Huyu Dr Lwaitama hana cha kufanya? Kila siku namuona kwenye TV! Halafua anachoongea hakieleweki!
wewe siyo kipimo cha uelewa, kama unabisha weka hapa jamvini ambacho amewahi kuongea au kusema ndg. wilson mukama si tu kueleweka bali pia chenye kulingana na hadhi yake ya ukatibu mkuu wa chama tawala.Kama mhadhiri wa chuo kikuu hii ni aibu kwa kweli. Kila mjadala utamwona na michango yake haina proffessional relevance. Inaonekana anatafuta cheap popularity. Eti siku moja namwona anajadili issues za Anti Money Laundry, yeye ni mtu wa philosophy mambo ambayo kwake najua sio uwanja wake kabisa. Hata hivyo sijawaji kuona publication yake yoyote.
U-dr kitu gani? Unajua mimi nina elimu gani? Usipende tu kuropoka, fikiri kwanzamaterial anayotoa ww huwez kuelewa yako juu ya uwezo wako,yy ni dr. Wew unawaelewa kwa ulaisi walimu wa shule ya msingi.nazan tatzo lako ndo ilo.
tena huyo du yeye anasema bi mkubwa wake kampa support mpaka alipofika bt ni katika wale familia bora so haamini kuna graduate yuko mtaani hata nauli ya Tsh 300 hana then yeye analeta zenge la kujitollea kufanya kazi (Volunteer).......na huyu dada hana la kusema. pumba tuu
Soma Comment ya Kipilime hapo juu, nafikiri kaongea vizurikwani uwezo wako wa kuelewa ukoje? angalia usijekuwa umejifafanua kwamba ni mgumu kuelewa na mkaidi unapofundishwa.
usikasirike, taja tu elimu yako ukate mzizi wa fitna, ndio tutaanzia hapo.U-dr kitu gani? Unajua mimi nina elimu gani? Usipende tu kuropoka, fikiri kwanza
Refer JF rulesusikasirike, taja tu elimu yako ukate mzizi wa fitna, ndio tutaanzia hapo.
msaidie kujibu swali nililomuuliza, nawe tutaujua uelewa wako.Soma Comment ya Kipilime hapo juu, nafikiri kaongea vizuri
Hapo umeleta politcs mkuu! Hapa tunaongelea malumbano ya hoja ITV. Sasa ishu za Mukama zimetoka wapi?msaidie kujibu swali nililomuuliza, nawe tutaujua uelewa wako.
hitimisho : ungesema humuelewi badala ya kusema haeleweki, ama ungedadavua ulichomsikia na ukajiridhisha hakueleweka.Refer JF rules
subject - uelewa, nilichagua mukama ili tuone pengine wengine unawaelewaHapo umeleta politcs mkuu! Hapa tunaongelea malumbano ya hoja ITV. Sasa ishu za Mukama zimetoka wapi?
I won't blame you... cause you sound like someone who has never seen the inside of a classroom!Kama mhadhiri wa chuo kikuu hii ni aibu kwa kweli. Kila mjadala utamwona na michango yake haina proffessional relevance. Inaonekana anatafuta cheap popularity. Eti siku moja namwona anajadili issues za Anti Money Laundry, yeye ni mtu wa philosophy mambo ambayo kwake najua sio uwanja wake kabisa. Hata hivyo sijawaji kuona publication yake yoyote.