Malumbano ya Spika Sitta na Mzee Mrema

Eti Mungu ibariki Tanzania ipi unayowatetea mafisadi na kuwapinga waliojitolea kupinga ufisadi ambao wewe unawaita mbwa koko shame on you
 
Exactly nguvumali kwa sasa tunamuona Sitta ana kosa tunasahau waliosababisha hilo kosa ni sawa na kumlaumu hakimu na kusahau anayekabiliwa na kesi
 

Ni kweli damu za wingi zinamlilia na hata sii ajabu na ya Kombe aliyakuwa mkuu wa usalama kipindi cha Mwinyi inamlilia. Maana ndie aliyempanza kumpa siri za nchi akifikiri ni mpinzani kweli kumbe anajikabidhisha mikononi mwa mamluki wa ccm. Nami pia nimimsamehe bure mzee wa kiraracha.
 
we unafikiri siku zinaganda?!!

mamabo yanabadilika na yaya anabadilika
taratibu anarud nyumbani amekuzwa na kulelewa hapo
nyumban ni nyumba hata kama mnalala juu ya mwembe!
vinginevyo atasahaulika lazima awe ananyoosha kidole mara moja moja
 
He is the overall overseer of whatever is happening in the country he has been entrusted to lead. Of course, akiona Bunge halikufanya kazi yake ipasavyo yeye anapaswa kuingilia kati na kurekebisha mambo. Your civics seems to be outdated!

Yes Boramaisha, my civics is outdated thus why i asked!!! could you then please outline spika duties? thanks
 
Mrema sasa anacheza siasa za kizamani.He's so desparate now.

Si mrema huyu huyu alikua anachekelea Nyerere kuzomewa pale uwanja wa mashujaa wakati mwl.akimpigia kampeni mkapa?

Si ni Mrema huyu huyu aliyeongoza maandamano watu wakapigwa tear gas kwa ajili yake?

His comment are bare insults kwa wale waliomuunga mkono muda wote.
Politicians wa Tanzania mbona wanakua hivi?
 
Ina maana wewe tatizo lako kubwa ni la Sitta kusoma lile azimio la bunge na si wale wezi wa Richmond!

Luten the answer is BOTH... wizi umetendeka na its not the first time and its not the last.. But why? kwasababu people know they can get away with it very very easy... just like having a glass of wine with nyama choma...

Do you really think kama SITTA angekuwa mzalendo kama NYERERE angesoma au ata kukubali kuisoma kwenye baraza la wabunge CCM? DO you really think NYERERE WOULD HAVE DONE THAT?

TO me if Sitta was mpiganaji angesema clear and Loud to baraza la CCM.. I AM NOT GOING TO CLOSE THIS AND WHATEVER YOU WANT TO DO LET IT BE... but he didnt, did he? why?
 

so what is relevant of this in red? Kwamba Mrema hakutakiwa kumcheka mwl kumpigia kampeni Mkapa? what is so wrong about that...
 
anaweza kuwa na kasoro za hapa na pale, nyepesi ama nzito.
Ila Vita ya rushwa hajaiasisi yeye, alitimiza wajibu wake, alisimamia kuvunja mkataba ambao Serikali ilikua inapoteza TSH 152,000,000/= kwa siku, na hii ilikua inapaswa kuendelea hadi leo kwenye mgongo wa Dowans, hayo ndio mafanikio makubwa kwake kama SITTA , ameweza kuokoa pesa ambazo zinaweza kujenga maabara kwenye shule zetu kadhaa hapa TZ.
Bado hata kama kuna madhaifu ila kwa hayo mema aliyoyafanya ni heri kuliko mamia ya Wabunge walioshindwa kumtia moyo yeye binafsi na kamati nzima.
 

Ndugu hamna mtu aliyesema MREMA is right or wrong.. and so do MR SITTA...

Ila kama nikirecall vizuri, SITTA ni spika wa bunge na Spika ni mtu muhimu ndani ya kikao cha bunge na pia nje ya bunge.. na hii ata ikiwa out of office...

Question to you... mtu anawezaje kufungua kesi kwamba sitta amevunja mjadala wa Richmond na amekinuka sheria ya uspika wake while HIMSELF SAID THE MJADALA IS OVER!!! AND THE BUNGE HAS THE LAST SAY!!! TO MAKE AND BREAK THE LAW????
 
Thibitisha ni wapi SITTA amezungumzia mjadala wa Richmond nnje ya Bunge.
Sitta aliulizwa juu ya mkasa wa kunyang'anywa kadi ya chama, na mkasa huo ulisababishwa na mtifuano wa wahanga wa Richmond na wapiganaji.
sasa ulitaka adanganye ?
kutaja Richmond sikosa
 
Mambo ya siasa yana cri nyiiingi ndani yake. Kinachotolewa nje kinakuwa kimeshafanyiwa utafiti wa kutosha na kujadiliwa kuona kama kina manufaa kwa taifa.
 

Nguvumali, naungana na wee mkono.

Mimi sisemi kwamba sitta hajafanya kitu chochote kizuri kwa miaka aliyokuwa spika. naomba wanaJF wote alielewe hilo.. at the same time i can not give him 100% credit eti alisimamia kuvunja mkataba ambao Serikali ilikua inapoteza TSH 152,000,000/= kwa siku.. ile kazi was done by dr slaa... ( correct me kama im wrong).. Dr slaa ndie aliileta ile oja bungeni...

Iapart from that... my argumen na uchungu nilionao kuhusu Sitta na kwanini yeye si mpiganaji wa kweli ni yeye kukubali kufunga mjadala wa Richmond kwa matakwa ya baraza la wabunge CCM, and he did it for himself and CCM rather than us normal tanzanias.
 
yeye hiyo ndo weakness yake.
lakini kinachokera ni kufanya hilo ni kosa Ziito kuliko la wale wahuni walioliingiza taifa kwenye hasara kubwa na ya aina yake.
 

Nguvumali, unaweza kuonyesha sehemu yoyote kwenye comments zangu nilipo sema sitta amezungumzia mjadala wa Richmond nje ya Bunge please?
 
Nguvumali, unaweza kuonyesha sehemu yoyote kwenye comments zangu nilipo sema sitta amezungumzia mjadala wa Richmond nje ya Bunge please?
nafuta Hoja yangu, nimerejelea upya , kwenye ile quotes yangu, nikagundua ni wapi sikukusoma Vyema.
 
kweli nikimuangalia Mrema kwa makini, nakumbuka mwaka 1995 , naumia kuona kua alikua anatudanganya, huyu ni mtu hatari.
hivi hakuna namna ambayo unaweza kumshitaki mwanasiasa ambaye kwa kumuunga kwako mkono ulijikuta unapoteza hata mke ama mume, kisha anakuja kukugeuka na kuungana na wale aliokwambia ni wahovyo ?
hakuna namna yakudai fidia kwa ushenzi huo ?
 
yeye hiyo ndo weakness yake.
lakini kinachokera ni kufanya hilo ni kosa Ziito kuliko la wale wahuni walioliingiza taifa kwenye hasara kubwa na ya aina yake.

No Nguvumali, you havent got my point right... Weakness ya SITTA ni kwamba yupo mguu mmoja nje mwingine ndani.. na hapa ndipo naungana na mrema.. anatry kuchenza mpira at the same time kuwa refa.. iko kitu akiwezekani..

mimi na wewe hatukuwa kwenye kikao cha ccm wakati anataka kunyanganywa hiyo kadi ya CCM so i cant comment on that... BUT what i can comment is what i know and heard... which is mjadala wa Richmond kufungwa... and that was only based on matakwa ya CCM.. what a shame..

swali la kujiuliza kama Sitta angekuwa kweli mpiganaji wa hii nchi against mafisadi.. kama vile Nyerere au Mandela kwanini hakustand by his morals not by matakwa ya mafisadi na what CCM wants...
 
Ndio hivyo tena wahenga wanasema kila lililo na mwanzo halikosi mwisho na huo ndio mwisho wa mzee wetu wa kiraracha,inasikitisha sana but no way out.
si kila ling'aaro ni dhahabu
 
nafuta Hoja yangu, nimerejelea upya , kwenye ile quotes yangu, nikagundua ni wapi sikukusoma Vyema.

kwi kwi.. u made me laugh.. apology accepted.. mwambie Sitta aje JF kutuomba msamaha basi.. mwambie asione aibu tutamsameheee lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…