Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Pengine uzuri wake ni nje tu, ndani hamna kitu [emoji4]
Exactlyy!!!Atakuwa na tatizo moja ambalo mwanamke akiwa nalo ni mtihani,,,,""atakuwa ni MUCH KNOW sana (kujua kwingi)
Na wewe je?Jojo na wolper wana matatizo
Mkuu,asikudanganye mtu.Mzigo wake mnato balaa...Jokate ni mzuri sana nimemuona juzi the only thing ambacho labda hana labda walaji wanajua......labda mzigo wake sio mnato....ni mtifuo.May be maana kwa uzuri tuuu ni kiboko
Uzuri wa ndani ukoje??? Mr. Wenger, hili jambo uliloibua la kutofauyisha uzuri wa nje na wa ndani ni zito mno linahitaji ushahidi wa kiutafiti wa kisayansi.Pengine uzuri wake ni nje tu, ndani hamna kitu [emoji4]
Duuu huyo dada alivyo bomba basi mwambie aje kwangu
Anaweza kumfanya mtu yeyote anaempenda kuwa mtu wa maana. Hapo ndipo watu tunapokosea mahesabu kusubiri mr/miss perfect.Maskini dada huyu Kwann asitulie kwa umri uliobaki wa usichana atafute mtu wa maana atulie azae ata kajukuu ka taifa ka moja anagundu huyu msichana urembo una mwisho hivi hana wazazi wa kumshauri anatia aibu kujikomba kwa dume lenye watoto zaidi ya watatu kila mtoto na mama yake Nyet za huyu dada zinashida
Hata mmningekua mama k ninge mkataa tu yemwenyewe hajionei huruma [emoji23][emoji23] iyo video kamekaa kama yatima.