Ana akili kiasi gani za kutulia na wanaume?huyu mdada sijui ana gundu gani, mtoto mzuri tu! lakin hapati mpenzi wa kuendana nae kabisa!!
inabidi utupe maelezo zaidi[emoji3]Pengine uzuri wake ni nje tu, ndani hamna kitu [emoji4]
Mkuu mpe namba zangu nazan mi naweza nikaendana naehuyu mdada sijui ana gundu gani, mtoto mzuri tu! lakin hapati mpenzi wa kuendana nae kabisa!!
Ni mzuri..ana shule nzuri..swali ni je ana life planning skills za kutosha..je anao washauri wazuri au ndo wakina "i live my life"?huyu mdada sijui ana gundu gani, mtoto mzuri tu! lakin hapati mpenzi wa kuendana nae kabisa!!
Umesema?Hamjui tu jinsi Joketi alivyo...
Mshabiki wa arsenal wewe mama mdogo Usibishe.Uzuri wa ndani ukoje??? Wenger, ambo hili uliloibua ni zito mno linahitaji ushahidi wa kiutafiti wa kisayansi.
HahahahahaInabidi waitwe Central.
huyu mdada sijui ana gundu gani, mtoto mzuri tu! lakin hapati mpenzi wa kuendana nae kabisa!!
Mie kama wewe tuNa wewe je?
Madem wa bongo hawajielewi.their minds are doll...ndio maana tunaona bora tukaoe UgandaMaskini dada huyu Kwann asitulie kwa umri uliobaki wa usichana atafute mtu wa maana atulie azae ata kajukuu ka taifa ka moja anagundu huyu msichana urembo una mwisho hivi hana wazazi wa kumshauri anatia aibu kujikomba kwa dume lenye watoto zaidi ya watatu kila mtoto na mama yake Nyet za huyu dada zinashida
Hata mmningekua mama k ninge mkataa tu yemwenyewe hajionei huruma [emoji23][emoji23] iyo video kamekaa kama yatima.
Wacha dharau zimtafune Jokate! Nakumbuka miaka ile wakati tunasoma UDSM, nilipishana na Jokate, nikampa hi, alafu akanichunia... Niliumia sana... Wacha ale matunda ya dharau zake...Duuu huyo dada alivyo bomba basi mwambie aje kwangu
Tehe teheMkuu,asikudanganye mtu.Mzigo wake mnato balaa...