[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Joketi namuonaga ana kiherehere sana. Ali sio type yake kabisa. Maana wote wajuaji
HahahaaWacha dharau zimtafune Jokate! Nakumbuka miaka ile wakati tunasoma UDSM, nilipishana na Jokate, nikampa hi, alafu akanichunia... Niliumia sana... Wacha ale matunda ya dharau zake...
Labda ndivyo walivyokubaliana utajuaje? Huyo jojo naye mbona huwa anamkana Kiba?Aly kiba nae kazidi mi ningekuwa Jokate ningeshamuachaa,,mtu anajifanya kama sio mpenzi wake lo,,,mtu anasafiri nae ,muda mwingi yupo nae halaf anakuwa anamkana lo
Ur daydreaming. Mtu mwenyewe unatembelea ki Vitz afu bado unamtaka Jokate!Njoo kwangu jokate
Njoo mpenzi njooo nauita wingwo wange
Atafute mwalimu.tatizo wanataka hao wanywa maji mengi na milegezohuyu mdada sijui ana gundu gani, mtoto mzuri tu! lakin hapati mpenzi wa kuendana nae kabisa!!
Ila kuzaa zaa hovyo nje ya ndoa alimfundisha maana ana watoto watatu kila mtoto na mamaake. Hiyo je ni tabia nzuri kuliko kumtambua mpenzi wa mwanae?Aaaaah king anakula hapo sema wana mambo yanawawia vigumu kujiweka wazi
Kiheshima mzazi mwenye kujitambua hawezi ku halalisha kwa kusema mtu fulani ni mkwe wangu kisa anasikia ana date na mwanae mzazi anatamka fulani ni mkwe wangu iwapo alishatambulishwa,na mama kiba ndo maana kamkataa jokate japo anaskia skia ana mahusiano na mwanae na kasisitiza sijamfundisha kiba bila kunitambulisha mtu mi nimhesabu mkwe wangu hicho ndicho alichomaanisha pale aliposema sijamfundisha hivyo
Labda walikubaliana kuwa itakuwa ni kimya kimya.Aly kiba nae kazidi mi ningekuwa Jokate ningeshamuachaa,,mtu anajifanya kama sio mpenzi wake lo,,,mtu anasafiri nae ,muda mwingi yupo nae halaf anakuwa anamkana lo
Anataka mastaa wenzake ndio malipo yake hayo. Moyo wa star memory card, labda kuna siku atampata wa peke yake.huyu mdada sijui ana gundu gani, mtoto mzuri tu! lakin hapati mpenzi wa kuendana nae kabisa!!
yupoje niadisie mwenzioHamjui tu jinsi Joketi alivyo...
Nasema kaa na joketi ongea nae vizuri utapata ukweli...Abe
Umesema?
Izo ishu za kiume zaidi,bro mama hawezi kukataa mjukuu lkn kukubali hawala ni matatizo ya akina mama wasiojielewaIla kuzaa zaa hovyo nje ya ndoa alimfundisha maana ana watoto watatu kila mtoto na mamaake. Hiyo je ni tabia nzuri kuliko kumtambua mpenzi wa mwanae?
Inabidi waitwe Central.
ha ha kumbe ulichuniwa ha ha me blikuwa namuangalia tu kiukweli nilivyo muona live duh sicho nilichokuwa nakiona kwenye picha siongei zaidiWacha dharau zimtafune Jokate! Nakumbuka miaka ile wakati tunasoma UDSM, nilipishana na Jokate, nikampa hi, alafu akanichunia... Niliumia sana... Wacha ale matunda ya dharau zake...
mkuu mimi nina imani unaweza ukaendana nae lakini tatizo izo namba zake sina sasa!!Mkuu mpe namba zangu nazan mi naweza nikaendana nae
[emoji23] [emoji23] [emoji23] panzi!!! aya bwana mimi hapo simoooTatizo mapepe kama binti aliebalehe anavyojidhaua mbele za watu. Mzuri lkn macho juu juu kama panzi.