V vicky fredy Member Joined Sep 28, 2013 Posts 34 Reaction score 1 Apr 24, 2015 #1 Mama aliyejifungua karibuni anatakiwa kula vitafunio gani na vyakula vya aina gani
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,917 Apr 26, 2015 #2 vicky fredy said: Mama aliyejifungua karibuni anatakiwa kula vitafunio gani na vyakula vya aina gani Click to expand... Vyakula vyepesi vyepesi kama mtori,supu na wali laini bila ya kusahahau maji na matunda ili afya irudi vizuri.... Uji wa oats mzuri sana akinywa asubuhi pia unasaidia kuongeza maziwa ya mama..
vicky fredy said: Mama aliyejifungua karibuni anatakiwa kula vitafunio gani na vyakula vya aina gani Click to expand... Vyakula vyepesi vyepesi kama mtori,supu na wali laini bila ya kusahahau maji na matunda ili afya irudi vizuri.... Uji wa oats mzuri sana akinywa asubuhi pia unasaidia kuongeza maziwa ya mama..