Mama aliyejifungua kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

Mama aliyejifungua kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

gracious86

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
437
Reaction score
54
Hellow wadau.! Hivi kwanini mwanamke (sijui kama inatokea kwa wote) anapojifungua, hupata shida sana anapojisaidia haja kubwa na wakati mwingine,i can say ni nyakati zote anapojisaidia,ile haja huambatana na damu!

Najiuliza maana hii hata mimi mwenyewe ninaiexperience maana ni mzazi,nina mtoto wa mwezi mmoja sasa! Yani huwa napata shida sana ninapoenda haja mpaka wakati mwingine najaribu kuzuia nikifkiria adha ninayoipata toilet!

Plz help me for this.Najiuliza hii ni kwangu tu na nina matatizo? Au huwatokea wanawake wote? Or it depends na maumbile ya mtu? I did a c- section! Riwa plz wherever u are.

Nahitaj msaada wako!
 
mmh pole.
sjui lolote.
wataalamu watakuja kukusaidia dada.pole.
 
Sijawahi kusikia hili la kujifungua na kupata maumivu makali yanayoambatana na damu wakati wa kujifungua...ningependa kujua zaidi.
Please ni PM (haya mambo ni ya faragha) unijibu maswali yafuatayo:
- je ni ujauzito wa kwanza?
- uchungu ulikuchukua muda gani mpaka ikaamuliwa ufanyiwe operation?
- uliambiwa ni nini sababu ya kufanyiwa operation?
- umeona uchafu (choo) kimechanganyika na maji maji yanayotoka wakati wa aroabaini (lochia)?
- haja ndogo unapata kawaida? maumivu?
- kuna jingine lolote ambalo umeshindwa kusema kwenye hii thread ambalo unadhani ni muhimu?

NB: NiPM, usijibu haya maswali hapa kweny hii thread.
 
Back
Top Bottom